Watu 6,000 kutibiwa bure magonjwa ya macho Zaidi ya wananchi 6,000 wanatarajia kupata elimu ya utunzaji, vipimo na matibabu ya macho kupitia kambi ya siku tatu mkoani Mtwara
Wenye ulemavu walalamikia unyanyapaa Amesema kumekuwa na mitazamo ya aina tofauti kuhusu wanawake wenye ulemavu, hivyo kuhisi kunyanyapaliwa ni hali ambayo inawarudisha nyuma na kushindwa kutimiza haki zao za kikatiba za kupiga na...
Wakulima wa mwani Lindi, Mtwara wanolewa Kutokana na kukosekana kwa soko la mwani ghafi katika mikoa ya Lindi na Mtwara, Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetoa mafunzo kwa washiriki 120 kuhusu namna kuongeza thamani ya zao hilo.
Zaidi ya tani 200,000 za korosho zasafirishwa nje ya nchi kupitia Bandari ya Mtwara TPA imetekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan, alilolitoa Septemba 2023 la kusafirisha korosho za mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma kupitia Bandari ya Mtwara
Bodi ya Korosho yawaonya wafanyabiashara wanaozitorosha nje ya nchi Mwakilishi wa Taasisi ya Wabanguaji Wakubwa wa Korosho (TACP), Jamal Kamtwanje amesema soko la awali limeongeza fursa nyingi ikiwemo kumuwezesha mlaji kufahamu korosho anazokula zimetokea nchini...
Baba ambaka mwanae wa miaka 15, ampa ujauzito Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Said Mapesa (42) kwa kosa la kumbaka mtoto wa mke wake mwenye umri wa 15 na kumpa ujauzito.
Mwanamke jela maisha kwa kumbaka mvulana wa miaka 15 Mtwara. Mahakama ya Wilaya ya Mtwara imemhukumu kifungo cha maisha jela, Asha Ismail Chanchoni (47) kwa kosa la shambulio la aibu, baada ya kujihusisha kimapenzi na mvulana mwenye umri wa miaka...
Wawakilishi wakunwa na uwekezaji gesi Mtwara Mtwara. Zaidi ya futi za ujazo 57.54 za gesi asilia zimeshagundulika nchini huku kiwango kikubwa kikiwa kwenye kina cha bahari ambapo bado hakijachimbwa. Hayo yameelezwa na Mjilojia wa Mamlaka...
Mzee mbaroni akituhumiwa kulawiti watoto wa shule Aliwalaghai na kuwapeleka katika jengo linaloendelea kujengwa eneo la Maduka Makubwa mkoani Mtwara.
Upungufu wa damu, tatizo Bagamoyo Mganga Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Dk Kandi Lusingu amesema chanzo ni kutokula mboga za majani